Habari za Punde

*WAHARI WA VYOMBO VYA HABARI MBALIMBALI , WAKUTANA NA MKURUGENZI WA TCAA HAMZA , JOHARI KUJADILIANA MASUARA YA USAFIRI WA ANGA NCHINI.

 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Hamza Johari( kushoto) akisisitiza jambo wakati alipokuwa akiongea na Wahariri wa vyombo vya habari mbalilmbali hapa nchini kuhusiana na  shughuli mbalimbali zinazofanywa na mamlaka hiyo  kuelekea katika mipango yake ya mwaka wa fedha 2016/17.Pamoja na kufahamiana na wahariri hao. Mkutano huo uliofanyika leo  makao makuu ya TCAA Banana Ukonga  jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa huduma za mamlaka ya TCAA Mbutolwe Kabeta.
 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Hamza Johari( katikati )akiongea na Wahariri wa vyombo vya habari mbalilmbali hapa nchini kuhusiana na  shughuli mbalimbali zinazofanywa na mamlaka hiyo  kuelekea katika mipango yake ya mwaka wa fedha 2016/17.Pamoja na kufahamiana na wahariri hao. Mkutano huo uliofanyika leo  makao makuu ya TCAA Banana Ukonga  jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Hamza Johari( katikati )akiongea na Wahariri wa vyombo vya habari mbalilmbali hapa nchini kuhusiana na  shughuli mbalimbali zinazofanywa na mamlaka hiyo  kuelekea katika mipango yake ya mwaka wa fedha 2016/17.Pamoja na kufahamiana na wahariri hao. Mkutano huo uliofanyika leo  makao makuu ya TCAA Banana Ukonga  jijini Dar es Salaam.Kulia ni Mkurugenzi wa huduma za mamlaka ya TCAA Mbutorwe Kabeta
Kaimu mwenyekiti wa baraza la wahariri nchini ,Deodatus Balile akiuliza swali wakati wa  mkutano wa Wahariri wa vyombo vya habari mbalilmbali uliondaliwa na Mamlaka ya usafiri wa Anga Tanzania (TCAA0, kuhusiana na  shughuli mbalimbali zinazofanywa na mamlaka hiyo kuelekea katika mipango yake ya mwaka wa fedha 2016/17.Pamoja na kufahamiana na wahariri hao. Mkutano huo uliofanyika leo  makao makuu ya TCAA Banana Ukonga  jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.