Baadhi ya Wanachama wa Yanga wakiongozwa na Msemaji wao, Jerry Muro wakimabidhi Msemaji wa Simba, Haji Manara (katikati) Pesa taslimi Shilingi Milioni moja na Elfu Hamsini (1,050,000) wakati walipomtembelea nyumbani kwake usiku huu. Wanachama hao wametoa msaada huo kwa ajili ya kumsaidia kwenye matibabu yake ya jicho.




No comments:
Post a Comment