Wachezaji wa Yanga wakiendelea na mazoezi kwenye uwanja wa Boko Veterani, leo asubuhi ikiwa ni sehemu ya maandalizi yao kuelekea mchezo wao wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Medeama utakaopigwa siku ya Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Malawi Kuongeza Ushirikiano wa Kimatibabu na Hospitali ya Benjamin Mkapa.
-
Waziri wa Afya na Usafi wa Mazingira wa Jamhuri ya Malawi Madalitso
Baloyi, amesema serikali ya nchi yake inaangalia uwezekano wa kupunguza
gharama za m...
43 minutes ago




No comments:
Post a Comment