Habari za Punde

*MATUKIO KATIKA PICHA SHEREHE YA HARUSI YA IBRA POZA & SAADE, AMOUR HASSAN & ARAFA

 Ibra Poza akimlisha keki mkewe Saade kwa staili ya Mahaba,wakati wa sherehe ya harusi yao iliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye Ukumbi wa Buffalo uliopo Mbezi Beach jijini Dar essalaam. 
 Mhariri wa Michezo Gazeti la Nipahse, Amou Hassan, akimlisha keki mkewe Arafa kwa staili ya Mahaba,wakati wa sherehe ya harusi yao iliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye Ukumbi wa Buffalo uliopo Mbezi Beach jijini Dar essalaam.
Mzushi na Mzushi wakifurahia jambo

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.