Kuna taarifa inasambazwa katika mitandano mbalimbali ya kijamii leo hii ikidaiwa imetolewa na kitengo cha Mawasiliano,IKULU, kama inavyoeleza hapo juu,si ya ukweli,mnaombwa muipuuze,ni taarifa iliotengenezwa na baadhi ya watu wenye nia ovu ya kupotosha ukweli,hivyo mnaombwa kuipuunza.
SERIKALI KUTATUA CHANGAMOTO ZA WANAFUNZI WENYE ULEMAVU NCHINI
-
Na Mwandishi wetu -Dodoma
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu
(Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) imeendelea ...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment