Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na Wenyeviti wa Makatibu wa CCM wa mikoa, alipokutana nao katika kikao maalum kilichofanyika leo, katika ukumbi wa Sekretarieti kwenye Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam. Wengine walioko meza kuu, kutoka kushoto ni Katibu wa NEC, Oganaizesheni, Mohamed Seif Khatibu, Naibu Katibu Mkuu mpya wa CCM-Bara, Rodrick Mpogolo na Naibu Katibu Mkuu mstaafu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi. Picha na Bashir Nkoromo
KAPINGA: TAASISI ZIFANYE TAFITI BUNIFU ILI KUONGEZA AJIRA KWA VIJANA
-
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Judith Kapinga (Mb), amezisisitiza
taasisi zilizo chini ya wizara hiyo kufanya tafiti zenye tija ili kuongeza
ajira kwa ...
13 hours ago

No comments:
Post a Comment