Wakazi wa Mbezi Juu wakilishangaa Gari lenye namba za usajili T 295 DDQ, likiwa limetumbukia mtaroni eneo la Mnara wa Voda barabara ya Goba. Gari hilo lilitumbukia mchana kweupe ambapo imeelezwa kuwa baada ya ajali hiyo dereva alitokomea pasipo julikana. Haikuweza kufahamika chanzo cha ajali hiyo.
SERIKALI KUTATUA CHANGAMOTO ZA WANAFUNZI WENYE ULEMAVU NCHINI
-
Na Mwandishi wetu -Dodoma
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu
(Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) imeendelea ...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment