Wakazi wa Mbezi Juu wakilishangaa Gari lenye namba za usajili T 295 DDQ, likiwa limetumbukia mtaroni eneo la Mnara wa Voda barabara ya Goba. Gari hilo lilitumbukia mchana kweupe ambapo imeelezwa kuwa baada ya ajali hiyo dereva alitokomea pasipo julikana. Haikuweza kufahamika chanzo cha ajali hiyo.
TTCL YAFUNGA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA KWA KULA KEKI NA WATEJA
-
*Baadhi ya wateja na maofisa wa TTCL wakifurahiya shapeni kwenye hafla ya
kufunga Maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja 2025, yaliofanyika Ofisi
za ...
36 minutes ago
No comments:
Post a Comment