Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemwachia huru Mwenyekiti wa Yanga na Diwani wa Kata ya Mbagala Kuu. Yusuf Manji, baada ya upande wa mashitaka kushindwa kuthibitisha mashitaka dhidi yake. HABARI KAMILI ITAWAJIA PUNDE
SEKRETARIETI YA MAADILI MNAYO MAMLAKA YA KUFUATILIA UKIUKWAJI WA MAADILI YA
VIONGOZI NCHINI, FANYENI HIVYO BILA KUONEA MTU”- Mhe. Ridhiwani Kikwete
-
Na Mwandishi wetu-Dodoma.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete ameitaka Sekretarieti ya...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment