Naibu Spika, Mhe. Dkt Tulia Ackson akiwa katika Mkutano wa Kimataifa wa Chama cha Jumuiya ya Madola unaofanyika Mjini Dhaka, Bangaladesh. Katika Mkutano huo Naibu Spika alitoa mada kuhusu kuwashirikisha vijana kwenye uongozi, Kulia kwake ni Naibu ni Mhe. Kazi Nabil Ahmed, Mbunge Bangladesh, kushoto ni Mhe. Sumitra Mahjan Spika kutoka India.
Sh bilioni 4.5 zatumika kuichokonoa Tanzania
-
Serikali imefichua kuwa chokochoko na vurugu zinazoendelea nchini zimeletwa
na wanaharakati wanaolipwa kwa lengo la kuharibu uchumi wa nchi na
kurudisha...
18 minutes ago


No comments:
Post a Comment