RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Waumini wa Dini ya Kiislam Mkoani Dodoma baada ya kumaliza Ibada ya Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Masjid Nunge Dodoma Mjini leo.
WAUMINI wa Dini ya Kiislamu Mkoani Dodoma wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akitowa nasaha zake baada ya Ibada ya Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Masjid Nungwe Dodoma Mjini leo. Picha na Ikulu
No comments:
Post a Comment