Madereva wa Bodaboda wakiwa wamewapakia abiria wao wajasiriamali na mizigo yao ya ndizi kama walivyonaswa na kamera ya Mmafoto Blog eneo la ofisi za mkuu wa mkoa Morogoro mjini Morogoro, jambo ambalo ni hatari kwa usalama wao. Picha na Muhidin Sufiani (MAFOTO)
MEYA KIBAHA KUTOA ZAIDI YA MILION 18 KUCHIMBA VISIMA VINNE KUPUNGUZA KERO
YA MAJI PANGANI
-
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha Disemba 22, 2025
Baadhi ya wananchi wa Mtaa wa Kidimu, Kata ya Pangani, Halmashauri ya
Manispaa ya Kibaha wanakabiliwa na uhaba...
2 hours ago


No comments:
Post a Comment