Mkazi wa jijini Dar es Salaam, ambaye hakuweza kufahamika jina lake mara moja, akiwa na usafiri wake wa Baiskeli akiwa amepakia chupa tupu kama alivyonaswa na kamera ya Mafoto Blog mitaa ya Keko jijini Dar es Salaam.
BAFANA BAFANA YAANZA VYEMA AFCON, YAICHAPA ANGOLA 2-1
-
TIMU ya Afrika Kusini imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya jirani zao,
Angola katika mchezo wa Kundi B Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika
(AFCON)...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment