Mkurugenzi wa Tathmini ya Athari kwa Mazingira kutoka Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira Dkt. Fadhila Khatib akifungua warsha ya wadau kuhusu usimamizi jumuishi wa masuala ya mabadiliko ya tabianchi maeneo ya Pwani, warsha hiyo inaendelea katika Ukumbi wa NIMR Dar es Salaam.
Baadhi ya washiriki wa Warsha Jumuishi ya usimamizi wa masuala ya mabadiliko ya Tabia nchi katika maeneo ya Pwani wakifuatilia hotuba ya mgeni rasmi (pichani juu)
Picha ya pamoja
Picha ya pamoja

No comments:
Post a Comment