Habari za Punde

MSANII RAYVAN ALIVYOKINUKISHA FAINALI ZA UEFA, MASHABIKI WAPAGAWA

 Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Rayvan, akishambulia jukwaa na kuwapagawisha mashabiki waliofurika kwenye ukumbi wa Next Door Arena Masaki, kushuhudia mchezo wa fainali za UEFA Championship kati ya Liverpool na Totenham, kupitia screen kubwa. Katika mchezo huo Liverpool ilishinda mabao 2-0.
 Pozi na mashabikibi wake
 Mashabiki wa Liverpool wakishangilia na mfano wa Kombe la UEFA jukwaani baada ya kuwabamiza Totenham 2-0.
 Dogo Janja naye alikuwepo kushuhudia
 Msemaji wa KMC Anuary Binde (katikati) akipozi na Patrick Nyembela (kulia) na Makocha.KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA

 Ulinzi ulikuwa ni wa hali ya juu 
 Watangzaji Maulid Kitenge (kushoto) na Taji Liundi wakiongoza shughuli hiyo
Mashabiki wakifuatilia mtanange huo.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.