
WABUNGE wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakimpongeza Mbunge wa Jimbo lwa Ruagwa, Majaliwa Kassim Majaliwa, baada ya jina lake kuteuliwa kupigiwa kura ya kuchaguliwa na Wabunge kuwa Waziri Mkuu, wakati wa kikao cha tatu Bunge la 12 kilichofanyika katika Ukumbi wa Bunge jijini Dodoma.
Mpambe wa Rais akiwasili Ukumbini akiwa na Bahasha yenye jina la Waziri Mkuu aliyependekezwa na Rais kupigiwa kura na wabunge.
Baadhi ya Wabunge wakiwa katika kikao hicho leo, kutoka (kulia) ni Makame Mbarawa, Zahor Mohammed Haji, Turki, January Makamba na Sylivestry Koka.
Sehemu ya Wabunge ndani ya Kikao hicho
Katika Kikao hicho, pia aliapishwa Mbunge wa Viti Maalumu, Rose Tweve.





















No comments:
Post a Comment