Habari za Punde

*JK AZINDUA KITABU CHA HISTORIA YA MAISHA YAKE

Rais Jakaya Kikwete (katikati) akionyesha akionyesha baadhi ya vitabu, baada ya kuzindua rasmi Kitabu cha Historia ya maisha yake kiitwacho, Wasifu wa Jakaya Mrisho Kikwete, wakati wa hafla hiyo fupi ya uzinduzi iliyofanyika jana Ikulu Dar es Salaam. Kutoka (kushoto) ni Waziri Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Warioba, Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal, kushoto kwa rais ni Mtunzi wa Kitabu hicho, Julius Ngangoro na mke wa Rais Mama Salma Kikwete.
Profesa Nyang'oro, akisaini vitabu kabla ya kuanza kuwagawia wageni waalikwa katika hafla hiyo ya uzinduzi.
Baadhi ya wageni waalikwa wakisoma kitabu hicho baada ya kugaiwa kilipozinduliwa.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda, akizungumza na wageni waalikwa katika hafla hiyo.
Rais jakaya Kikwete, akisaini vitabu vya wageni waalikwa baada ya kugaiwa.
Mtunzi wa kitabu hicho, Julius Nyang'oro, akisaini vitabu hivyo kabla ya kuanza kuwagaia wageni waalikwa.
makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akimpongeza mtunzi wa kitabu hicho, Nyang'oro.
Mama Salma, akizungumza na wageni waalikwa.
Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal, akizungumza na baadhi ya Mawaziri waliohudhulia hafla hiyo.










No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.