Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete, akipunga mkono kuwasalimia wananchi wakati alipokuwa akiingia Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam leo, katika Sherehe za maadhimisho ya miaka 49 ya Uhuru. Kushoto ni Mkuu wa Majeshi Tanzania, Davis Mwamunyange.
Rais Dr. Jakaya Kikwete, akikagua gwaride.
Rais Dr. Jakaya Kikwete, akikagua gwaride.
Rais Dk Jakaya Kikwete, akisalimiana na Makamu wake, Dk Mohamed Gharib Bilal. wakati alipokuwa akiingia uwanjani hapo.
No comments:
Post a Comment