Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Uchumi Ramadhani Khijjah(kushoto), akitiliana saini ya msaada wa fedha wa Sh bilioni 106 na msaidizi wa barozi wa Japani Shuichiro Kawaguchi, kwa ajili ya kuisaidia Serikali ya Tanzania ili kusafirisha umeme kutoka gridi ya Taifa mkoani Iringa hadi mkoa wa Shinyanga.Picha na Michael Matemanga
CAG KICHERE AIPA HEKO TANROADS UJENZI UWANJA WA NDEGE MSALATO
-
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Bw. Charles Kichere
amepongeza kasi ya ujenzi wa uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Msalato wenye
ukubwa ...
37 minutes ago
No comments:
Post a Comment