Mwimbaji maarufu wa nyimbo za injili Solomon Mukubwa, amepata ajali ya gari wakati akiwa njiani kutoka nchini Kenya kwenda Silali Musoma , mpakani mwa Tanzania na Kenya ambako alikuwa anatarajia kufanya onyesho. Ameeleza shuhuda wa ajali hiyo ambaye pia ni miongoni mwa waratibu wa onyesho hilo, ambpo amedai kuwa Solomon hakuumia sana bali amepatwa na majeraha kidogo ila Meneja wake ndiyo ameelezwa ameumia zaidi.
Minister officially launches real estate giant Coldwell Banker Tanzania and
Zanzibar
-
By Reporter, Zanzibar
ZANZIBAR Ministry of Labour, Economy, and Investment has said that it will
continue to expedite the issuance of investment p...
14 minutes ago
No comments:
Post a Comment