Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Sera Uratibu na Bunge, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Isman Mkoa wa Iringa, William Lukuvi, amefiwa na Dada yake mdogo aliyetajwa kwa jina la Odina, aliyefariki katika Hospitali ya mkoa wa Ruvuma ambako alikuwa amelazwa kwa ajili ya matibabu. Mwili wa marehemu unataraji kuwasili kesho asubuhi katika kijiji cha Ifunda kibaoni ambako ni nyumbani kwa marehemu huyu kwa ajili ya shughuli za mazishi. Habari ziwafikie ndugu jama na marafiki wote wa Lukuvi popote walipo, ukoo wa kalinga , ukoo wa akina Godwin.
RAIS SAMIA ASISITIZA MASLAHI YA TAIFA KUENDELEA KUZINFATIWA KWENYE MIKATABA
INAYOINGIWA
-
-Mikataba 1799 ya Kitaifa, Kikanda na Kimataifa na Hati 352 za Makubaliano
zafanyiwa upekuzi – Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
51 minutes ago
No comments:
Post a Comment