Abiria waliokuwa wakisafiri kutoka Songea kwenda Masasi mkoani Mtwara, wakiwa hawajui la kufanya baada ya kukwama kufuatia gari walilokuwa wakisafiria la kampuni ya Kisiwa Video Coach,kuharibikia katika kijiji cha Mchomolo wilaya ya Namtumbo mkoa wa Ruvuma,ambapo walilazimika kusubiri kwa zaidi ya masaa 8 bilia ya kupatiwa usafiri mwingine.
Abiria hao wakiwa wamekata tamaa baada ya basi walilokuwa wakisafiria kutoka Songea kwenda Masasi mkoa wa Mtwara (pichani) kuharibika wilayani Namtumbio ambapo walilazimika klusubiri kwa zaidi ya saa 8 njiani kabla ya kuendelea na safari yao,
Abiria wa basi la Ng'itu linalofanya safari zake kati ya Mtwara mjini kwenda Dar es Salaam, wakiwa wameshuka ndani ya gari ilio baada ya usafiri huo kuharibika ilo katika kijiji cha Mavuji wilayani kilwa hivi karibuni. Picha Zote na Muhidin Amri, Songea
No comments:
Post a Comment