Mhariri wa Gazeti la Rai, ambaye pia ni Naibu Mhariri wa Kampuni ya New Habari (2006) Ltd, Danny Mwakiteleko (Pichani) akiwa amelazwa katika wodi ya wagonjwa mahututi ICU Muhimbili baada ya kuapata ajali juzi usiku wakati akirudi nyumbani kwake maeneo ya Tabata Dar es Salaam na kusababisha majeraha na maumivu katika sehemu ya kichwani.
TBS YATOA ELIMU YA UBORA WA BIDHAA KIGOMA
-
Na Mwandishi Wetu, Kigoma
WANANCHI wameshauriwa kabla ya kununua bidhaa wahakikishe wanasoma kwa
umakini taarifa zilizopo kwenye vifungashio ili kujiridhis...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment