Habari za Punde

*'SOON' BONGO KAMA MAMTONI KWA VITOFA

Ni Barabara ya Bibi Titi karibu na Mahakama ya Kisutu, majengo mawili yanayopendezesha jiji hususan eneo hilo. Jiji la Dar es Salaam linatarajia kuwa na majengo kadhaa marefu ya ghorofa ambayo miongoni mwake ni jengo hili (kushoto) lililokamilika hivi karibuni, ambalo pembeni yake pia kuna jengo jingine linaloendelea kujengwa ambalo linakisiwa kuwa kubwa (refu) kuliko yote ya jijini.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.