Ni Barabara ya Bibi Titi karibu na Mahakama ya Kisutu, majengo mawili yanayopendezesha jiji hususan eneo hilo. Jiji la Dar es Salaam linatarajia kuwa na majengo kadhaa marefu ya ghorofa ambayo miongoni mwake ni jengo hili (kushoto) lililokamilika hivi karibuni, ambalo pembeni yake pia kuna jengo jingine linaloendelea kujengwa ambalo linakisiwa kuwa kubwa (refu) kuliko yote ya jijini.
CHANGAMOTO YA USAFIRI WATUMISHI WIZARA YA ARDHI KUPUNGUA
-
Na *Munir Shemweta, WANMM*
Changamoto ya usafiri inayowakabili watumishi wa wizara ya ardhi Nyumba na
Maendeleo ya Makazi sasa inaenda kupungua kufua...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment