Habari za Punde

*YANGA YAWAHENYESHA MAAFANDE, POLISI KOMBANI MABAO 3-0 UWANJA WA TAIFA

Mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma, akipiga shuti huku beki wa Polisi Kombaini, Salmin Kissy, akijaribu kuzuia wakati wa mchezo wa kirafiki, uliochezwa leo jioni kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Katika mchezo huo Yanga iliibuka na ushindi wa mabao 3-0, yaliyofungwa na Simon Msuva, Amis Tambe na  Donald Ngoma. 
Simon Msuva, akiwatoka mabeki wa Polisi Kombaini, wakati wa mchezo huo.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.