Mshambuliaji wa Yanga Yacouba Sogne (kulia) akimtoka kiungo wa Simba, Erasto Nyoni wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Bara uliomalizika hivi punde katika Uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es Salaam. Katika mchezo huo Yanga imeshinda bao 1-0 bao lililofungwa na Zawadi Mauya katika dakika ya 11 ya kipindi cha kwanza bao lililodumu hadi kumalizika kwa mchezo huo. Picha na Muhidin Sufiani
Kiungo wa Yanga, Feysal Salum 'Fey Toto' akiwa katikati ya msitu wa mabeki wa Simba....
Zawadi Mauya (kulia) akipiga shuti lililozaa bao la kuongoza na la ushindi kwa timu yake.....
Kiungo mkabaji wa Yanga, Mukoko Tonombe akishangilia ushindi.....
Tuisila Kisinda akimtoka beki wa Simba Taddeo Lwanga, wakati wa mchezo huo......
Beki wa Simba, Mohamed Hussein (kushoto) akijaribu kuondosha mpira huku akizongwa na Said Ntibazonkiza, wakati wa mchezo huo.
KWA MATUKIO KAMILI YA PICHA NA VIDEO ZA MTANANGE HUU KAA NASI HAPO BAADAYE
TAHARUKI! KIJIJI CHA AMANI CHAVAMIWA,WANANCHI WAPIGWA VIBOKO,WAPOKONYWA MIFUGO NA SILAHA
-
Njombe
WANANCHI wa kijiji cha Amani kilichopo kata ya Mundindi halmashauri ya
wilaya ya Ludewa mkoani Njombe wameeleza kusikitika kutokana na kuvamiwa na
j...
34 minutes ago
No comments:
Post a Comment