

Mzazi Nsajigwa Ndabi, akimpongeza mtoto mtoto wake Mercy Ndabi, kwa kumvisha Taji baada ya kupokea kipaimara katika Kanisa la KKKT Kitunda Kuu, Dar es Salaam, juzi.


Mercy akimlisha keki Mama yake mzazi wakati sherehe ya kumpongeza iliyofanyika katika ukumbi wa Golden Paris uliopo Mwanagati.
Mercy akimlisha keki Baba yake mzazi wakati sherehe ya kumpongeza iliyofanyika katika ukumbi wa Golden Paris uliopo Mwanagati.
Marafiki zake pia nao walikuwepo kushow Love na mpendwa wao
Picha ya pamoja ya familiaWazazi wakimpongeza mtoto wao baada ya kupokea Kipaimara
Picha ya pamoja kwa kumbukumbu na Mama yake (kulia) Aunt yake wa pili (kushoto) na Dada yake (kulia)
No comments:
Post a Comment