Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF, Ibrahim Lipumba, (katikati) akiongoza maandamano ya amani ya wanachama wake, ikiwa ni njia ya kumshinikiza msajiri wa Vyama vya siasa kujiuzulu. Maandamano hayo yalifanyika kuanzia Buguruni Sheri na kuishia kwenye Viwanja vya Kidongo Chekundu jijini
MKUU WA MKOA WA KUSINI UNGUJA AIPONGEZA TNCC KWA HUDUMA YA CERTIFICATE
ORIGIN
-
*Na Mwandishi Wetu, Zanzibar.*
*Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, Mhe. Hamida Mussa Khamis Shuduma, amesema
ameridhishwa na huduma mbalimbali zinazotolewa na ...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment