Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa benki ya KCB, Christina Manyenye, akikabidhi Mwalimu Mkuu Msaidizi wa Shule ya Msingi Mwanambaya, Mbaraka Nyakungu, funguo ya jengo la maktaba ya shule hiyo lililojengwa na benki hiyo kwa gharama ya sh. milioni 12.5 wakati wa hafla fupi ya makabidhiano ya jingo hilo iliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye shuleni hiyo iliyo nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Picha na (SPM)
GCLA INAENDELEA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KATIKA MAONESHO SABASABA
-
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlakla ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), Dkt. Adam Fimbo
(kulia) akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la Mamlaka ya
Maabara ya ...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment