Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa benki ya KCB, Christina Manyenye, akikabidhi Mwalimu Mkuu Msaidizi wa Shule ya Msingi Mwanambaya, Mbaraka Nyakungu, funguo ya jengo la maktaba ya shule hiyo lililojengwa na benki hiyo kwa gharama ya sh. milioni 12.5 wakati wa hafla fupi ya makabidhiano ya jingo hilo iliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye shuleni hiyo iliyo nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Picha na (SPM)
Arusha Yageuza Bodaboda Kuwa Fursa Mpya
-
Na Pamela Mollel,Arusha.
Jiji la Arusha limeanza ukurasa mpya katika sekta ya bodaboda baada ya Mkuu
wa Wilaya ya Arusha, Joseph Modest Mkude, kuzindua m...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment