Japo hili ni tuta kwangu lakini hata mie bado nashawishika kuwauliza wadau wa Sufianimafoto je hii ni shule iliyosajiliwa kabisaaaaa na jina hili likapitishwa kwa taratibu zote? na je kunawazazi wanaowapeleka wanafunzi wao katika shule hii huku wakijigamba kuwa "mwanangu anasoma Use.... High School"?..... Picha kwa msaada wa wajina wangu Muhidin Michuzi
DKT. MWIGULU: KAZI ZINAZOWEZA KUFANYWA NA WAZAWA ZISIFANYWE NA WAGENI
-
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amezitaka wizara zinazohusika na masuala
ya ajira zisimamie kikamilifu utekelezaji wa sheria zinazotaka kazi
zinazo...
51 minutes ago
No comments:
Post a Comment