
Washiriki wa kinyang'anyiro cha Taji la Miss Utalii Kinondoni wakijifua kujiandaa na shindano hilo linalotarajia kufanyika keshokutwa kwenye Ukumbi wa New Msasani Club Dar es Salaam. Picha Zote na (SPM)

Hili pia ni bonge la sebene la naniliuuuuuu.

Afisa Masoko wa New Msasani Club, Antony Frednand (kulia) akifafanua jambo kuhusiana na Fainal za Mashindano hayo, yatakayoshirikisha washindi Thelathini wenye Mataji ya Miss Utalii Tanzania katika Mikoa ya Dar es Salaam, Morogoro,Pwani, Lindi na Mtwara, katika Mkutano na Waandishi wa Habari Ofisini kwake, Msasani Club, Dar es Salaam jana, katikati ni Mratibu wa Mashindano ya Miss Utalii Kanda ya Mashariki 2009/2010, Sophia Temba na Meneja Matangazo,Lucy Rweyemam, mashindano hao yamepangwa kufanyika Mwezi wa Pili 2010.

Warembo wakijifua...........

Sebene la warembo wa Utalii Kino wakijifua kwa sebene la kufa mtu babakeeeeee.
No comments:
Post a Comment