POZI LA PICHA LA WAPENDANAO......Katika hali ya kawaida jamaa kama huyu akiwa ni kama mie ama wewe usie na kitu ama tufweza twako twa kubalidisha mboga na biere, Kadada kama haka karembo kangeweza kukubali kuolewa nawe, kama kalivykubali kuolewa na jamaa hili lenye mihela yake????? Ebwana kumbe kweli Hapendwi mtu ila ni Pochi tuu hawa dada zetu ni noma mazeee, Pesa kitu kingine bwana.....
No comments:
Post a Comment