Hawa jamaa ni noma walikuwa wakituchukulia hadi vijisamaki hivi.........Hongera sana Magufuli..
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (wapili kushoto) akionyeshwa samaki wadogo ambao ni miongoni mwa samaki waliokamatwa katika meli ya uvuvi haram, wakati alipofanya ziara katika Kiwanda cha Samaki na kukagua vifaa vya uvuvi vilivyokamatwa ambavyo vipo kwenye Kituo cha Polisi cha Centre jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, John Magufuli, (katikati) ni Mkurugenzi wa Deep Fish Authority, Geofrey Nanyaro
TAIFA STARS YATOA SARE 1-1 NA UGANDA AFCON
-
TANZANIA na Uganda zimegawana pointi kwa sare ya kufungana bao 1-1 katika
mchezo wa Kundi C Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) usiku huu
Uwanj...
11 hours ago
No comments:
Post a Comment