Hawa jamaa ni noma walikuwa wakituchukulia hadi vijisamaki hivi.........Hongera sana Magufuli..
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (wapili kushoto) akionyeshwa samaki wadogo ambao ni miongoni mwa samaki waliokamatwa katika meli ya uvuvi haram, wakati alipofanya ziara katika Kiwanda cha Samaki na kukagua vifaa vya uvuvi vilivyokamatwa ambavyo vipo kwenye Kituo cha Polisi cha Centre jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, John Magufuli, (katikati) ni Mkurugenzi wa Deep Fish Authority, Geofrey Nanyaro
Tanzania Yapunguza Matumizi ya Antibiotiki kwa Asilimia 88 katika Vita
Dhidi ya Usugu wa Vimelea kwa Dawa
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
TANZANIA imepiga hatua kubwa katika mapambano dhidi ya usugu wa vimelea vya
maradhi kwa dawa (AMR), kwa kupunguza matumi...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment