Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa benki ya NMB, Amman Kajula (kushoto) akitoa maelezo ya jinsi ya kutumia huduma mpya, wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya Utumaji pesa kwa kutumia huduma ya NMB Mobile (NMB Mobile Money Transifer) iliyozinduliwa jijini Dar es Salaam leo . Kulia ni Meneja Masoko wa Benki hiyo, Shillah Senkoro.
APRM YAKUTANA NA VIONGOZI WA WANAFUNZI KUJADILI NAFASI YA VIJANA KATIKA
UTAWALA BORA
-
Katibu Mtendaji wa Mpango wa Hiari wa Nchi za Umoja wa Afrika wa
Kujitathmini kwa Vigezo vya Utawala Bora (APRM) Tanzania, Bw. Lamau Mpolo,
amekutana na...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment