Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa benki ya NMB, Amman Kajula (kushoto) akitoa maelezo ya jinsi ya kutumia huduma mpya, wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya Utumaji pesa kwa kutumia huduma ya NMB Mobile (NMB Mobile Money Transifer) iliyozinduliwa jijini Dar es Salaam leo . Kulia ni Meneja Masoko wa Benki hiyo, Shillah Senkoro.
RAIS DK.MWINYI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA CCM, ZANZIBAR
-
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi ameongoza kikao Maalum cha Kamati Kuu ya
Hal...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment