Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, William Lukuvi, akizungumza wakati alipokuwa akifungua kongamano la Maaskofu la kujadili Uadilifu, Uwajibikaji na Uwazi ili kuboresha Utawala Bora, lililofunguliwa leo.
Askofu Methodius Kilain, akisisitiza jamabo muda mfupi baada ya kufunguliwa kwa Kongamano la maaskofu kuhusu uadilifu, uwajibikaji na uwazi ili kuboresha Utawala Bora, lililofunguliwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam William Lukuvi.
No comments:
Post a Comment