Habari za Punde

*JK ALIHUTUBIA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI

Rais Jakaya Kikwete (Katikati), Spika wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki, Abdirahin Abdi(kushoto) na Spika wa Bunge la Kenya Kenneth Marende (kulia), wakiwa katika viwanja vya Bunge la Kenya Muda mfupi baada ya Rais Kikwete kuwasili na kupigiwa wimbo wa taifa ambapo baadaye Rais Kikwete alilihutubia bunge la jumuiya hiyo. Picha na Fredy Maro

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.