Katibu Mkuu wa Chama Cha Tanzania Labour Party (TLP), Meja Mstaafu Jesse Makundi (kulia) akipokea fomu ya mgombea nafasi ya urais kupitia tiketi ya chama hicho, Macmillan Lyimo alipokuwa akirudisha kwenye Ofisi za Makao Makuu ya Chama hicho Dar es Salaam leo. Katikati ni Naibu Katibu Mkuu wa Chama hicho, Hamadi Tao.
RAIS DK.MWINYI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA CCM, ZANZIBAR
-
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi ameongoza kikao Maalum cha Kamati Kuu ya
Hal...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment