Habari za Punde

DK. BILAL ALIVYOFUNIKA JIMBO LA DOLE

Mgombea Mwenza wa Urais wa CCM, DK. Mohamed Gharib Bilal, akiwahutubia wananchi wa Wilaya ya Magharib, Mkoa wa Mjini Magharibi, wakati alipofanya mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Dole Zanzibar
Wakea wa Dk. Bilal, Zakia Bilal na Asha Bilal, kwa pamoja wakimtunza mwimbaji wa taarab, wakati alipokuwa akitoa burudani katika mkutano huo.
Ridhiwani Kikwete, naye alikuwapo katika kuhamasisha viajana wa visiwani humo wanafanya vizuri katika suala zima la kuwachagua viongozi wa CCM, hapa akiwa jukwaani katika mkutano huo.
wake wa Dk. Bilal, wakijumuika na wananchi katikati ya uwanja kucheza miondoko ya taarab, wakati wa mkutano huo.
Wanachama na wananchi wa Wialaya ya Magharibi Mkoa Mjini Magharibi, wakimsikiliza mgombea mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, wakati alipokuwa akiwahutubia katika mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa Dole Zanzibar.
Shabiki wa CCM, akishangilia huku akiwa na bango lenye picha ya Dk. Bilal ya ujana wake, wakati wa mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, uliofanyika kwenye Uwanja wa Dole Mkoa wa Mjini Magharibi katika Jimbo la Dole Wilaya ya Magharibi.
Umati wa watu waliojitokeza katika mkutano huo.

























































No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.