Habari za Punde

DK. BILAL ATEMBELEA MAENEO YA WILAYA MPYA YA RORYA

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Nimlod Mkono, akimuonyesha Mgombea Mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, maeneo yanayatarajia kujengwa Chuo Kikuu katika Wilaya mpya ya Butiama wakati alipotembelea maeneo hayo leo.
"Na huku mzee kote kutakuwa ni town kama unavyona tayari tumekwishaanza kuchonga barabara mheshimiwa"...


No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.