Wanafunzi wa shule ya msingi Mlandege wakichungulia madirishani baada ya walimu wao kukimbia madarasani kuhofia mabomu, muda mfupi baada ya askari wa kutuliza ghasia FFU, kutua eneo hilo na kuwataka wananchi kutawanyika kabla ya viongozi wa Chadema kujitoa mhanga na kuangua kilio cha kuomba msahama mbele ya askari hao.
TAIFA STARS YATOA SARE 1-1 NA UGANDA AFCON
-
TANZANIA na Uganda zimegawana pointi kwa sare ya kufungana bao 1-1 katika
mchezo wa Kundi C Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) usiku huu
Uwanj...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment