Gari ya matangazo ya mgombea ubunge jimbo la Mbeya mjini Bw Joseph Mbilinyi (MR II SUGU) likiwa limezungukwa na makada wa CCM ambao walitaka kulivunja kwa madai ya kutaka kuvuruga mkutano wa mgombea udiwani wake ambaye alikuwa akifanya mkutano wa kampeni katika kata hiyo pamoja na mgombea ubunge wa Chadema kutakiwa kufanya mkutano wake.'
PROF.NOMBO:SHERIA YA ELIMU 1978 YAHITAJI MABORESHO MAKUBWA
-
*Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia na Ofisi ya Waziri
Mkuu – TAMISEMI imepokea taarifa ya awali ya Kamati ya Mapitio ya Sheria ya...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment