Mkurugenzi wa masuala ya Bunge na Halmashauri wa Chama cha CHADEMA, John Mrema, akizungumza na waandishi wa habari Mjini Dodoma leo mchana, wakati akitangaza safu ya viongozi Kambi ya Upinzani Bungeni walioteuliwa baada ya Kikao chao kumalizika leo, ambapo alimtaja Freeman Mbowe kuteuliwa kuwa Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni na kusaidiwa na Naibu wake, Kabwe Zitto na Tundulisu akiteuliwa kuwa Mnadhimu Mkuu wa Kambi hiyo Bungeni. Kushoto ni Mkurugenzi wa Organaization na Mafunzo wa Chadema, Singo Benson.
WAKALA WA VIPIMO WABAINI UDANGANYIFU WA MIZANI MABUCHANI TEMEKE NA KIGAMBONI
-
Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Temeke umebaini vitendo vya udanganyifu
katika baadhi ya mabucha yanayouza nyama, baada ya kufanya operesheni
maalum ya...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment