DK. SHEIN RAIS WA ZANZIBAR KWA TOFAUTI YA ASILIMIA MOJA
Dk. Ali Mohamed Shein, ametangazwa rasmi kuwa ndiye ameibuka kidedea katika kinyang'anyiro cha uchaguzi mkuu wa urais katika Visiwa vya Zanzibar, baada ya kuwamwaga wapinzani wake kwa kuibuka na jumla ya kura 179, 809, huku mpinzani wake Maalim Seif wa CUF akiibuka na kura 176, 538, ikiwa ni tofauti ya kura tatu tu na pointi kadhaa, ikiwa ni sawa na tofauti ya asilimia moja tu.
Dk. Ali Mohamed Shein, ametangazwa rasmi kuwa ndiye ameibuka kidedea katika kinyang'anyiro cha uchaguzi mkuu wa urais katika Visiwa vya Zanzibar, baada ya kuwamwaga wapinzani wake kwa kuibuka na jumla ya kura 179, 809, huku mpinzani wake Maalim Seif wa CUF akiibuka na kura 176, 538, ikiwa ni tofauti ya kura tatu tu na pointi kadhaa, ikiwa ni sawa na tofauti ya asilimia moja tu.
No comments:
Post a Comment