Shindano la Miss Utalii Tanzania 2010 linalotarajia kufanyika Desemba 31 mwaka huu sasa kufanyika kwa udhamini wa Sh. Milioni 120, fedha zilizotolewa na 'Papa Musofe'.
Akizungumza na gazeti hili Rais na Mratibu wa mashindano hayo, Gideon Chipungahelo, alisema kuwa maandalizi ya shindano
Aliongeza kuwa ili kufanikisha shindano
Aidha alisema kuwa washiriki watakaopanda jukwaani siku hiyo kuwania Taiji la Miss Utalii 2011 ni 60, ambao wametoka mikoa yote ya
Alifafanua udhamini huo wa Sh. Milioni 120 kuwa utakuwa ni fedha taslimu, zawadi za washiriki na kuwaandaa warembo watakaokwenda kushiriki katika mashindano ya Dunia 2011 yanatotarajia kufanyika Novemba 2011 nchini
Mashindano mengine ni Miss University Africa 2011 yatakayofanyika mwezi February, nchini
Aliwataja wadhamni wengine kuwa ni pamoja na Tanapa, Kilomo Hotel, Ngorongoro, Image Masters & Click Photo Promotions.
No comments:
Post a Comment