Msaidizi wa Rais, Kassim Mtawa akimkabidhi zawadi ya mbuzi mkuu wa kituo cha kulelea wazee wasiojiweza cha Msimbazi Sr.Yusta Mhumbila, wakati wa hafla hiyo fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salam leo mchana. Zawadi hizo zimetolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete, ikiwa ni maalum kwa ajili ya Vituo vya kulelea watoto waishio katika mazingira magumu (Yatima) na wazee wasiojiweza ili kuwafanya kuwa sehemu ya watanzania wote kusherehekea Sikukuu ya Eid El-Haji, inayotazamiwa kuwa kesho ama keshokutwa. Picha na Freddy Maro-Ikulu
MISRI YATOKA NYUMA NA KUICHAPA ZIMBABWE 2-1
-
TIMU ya Misri imetoka nyuma na kushinda mabao 2-1 dhidi ya Zimbabwe katika
mchezo wa Kundi B Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) usiku wa
jana ...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment