Mkurugenzi Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL), Caroline Ndungu (wapili kulia) akimkabidhi Kombe, Mwenyekiti wa Baraza la Michezo Tanzania, Kanal Idd Kipingu, wakati wa makabidhiano ya Kombe hilo litakaloshindaniwa katika mashindao ya CECAFA Tusker Challenge Cup, yanayotarajia kuanza Nov 27 jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Katibu Mkuu wa CECAFA, Nicholas Musonye (kulia) ni Mkurugenzi wa Mahusiano na Mawasiliano wa Serengeti, Teddy Mapunda.
Kombe la Tusker Challenge 2010
Mkurugenzi Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL), Caroline Ndungu, akizungumza na waandishi wa habari wakati wa hafla hiyo.
MAFOTO PRODUCTION & ENTERTAINMENT KWA MAHITAJI YAKO YA STILL PICTURE, VIDEO SHOOTING, MUSIC & Mc's KATIKA SHEREHE YA AINA YEYOTE. VIDEO EDDITING, COVER DISGNING, PPS ZA DK 3, POSTERS ZA AINA MBALIMBALI COVER CD PRINTING, BURNING CD N.K. WASILIANA NASI KWA NO, 0787 200005/0754, 0655-306109/0714 656660 BARUA PEPE:- muhidinuk@yahoo.co.uk,sufianimafotoblog@gmail.com AMA TEMBELEA www.sufianimafoto.com
ADEM na SLADS Waingia Mkataba wa Ushirikiano
-
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM), Dkt.
Maulid Maulid (wa pili kulia) na Bi. Bertha Mwaihojo (wa kwanza kulia)
wakionesha ...
AFCON SASA KUFANYIKA BAADA YA MIAKA MINNE
-
FAINALI za Kombe la Mataifa ya Afrika(AFCON) zitakuwa zikifanyika kila
baada ya miaka minne, huku Shirikisho la Soka Afrika (CAF) likitambulisha
michuano...
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ke...
-
[image: Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio]
Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio
alt=”” class=”w...
DIAMOND PLATINUMZ HOUSE 'STATE HOUSE'
-
Bila shaka muziki unalipa na ndio maana mwanamuziki wa Bongo Fleva, kutoka
Tanzania Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz, ameweza kujenga nyumba jambo
ambal...
No comments:
Post a Comment