WABUNGE WA VITI MAALUM SAFARI HII MOTO!
'WAGOMBEA WAKIWA PAMOJA WAKATI WAKISUBIRI KUCHAKACHULIWA'
Wagombea wa nafasi ya Kiti cha Spika wa Bunge, wakiwa katika picha ya pamoja katika benchi moja wakati wajumbe wa Kamati Kuu wakiwa ndani wakiendelea na zoezi la kujadili majina matatu yatakayopitishwa kuwania nafasi hiyo.
'KAMA MARAFIKI VILE KUMBE......'
Wagombea wa Kiti cha Spika, Mbunge wa Urambo Samuel Sitta na Mbunge wa Bariadi Andrew Chenge, wakitoka kwa pamoja katika ukumbi uliokuwa ukifanyika majadiliano ya kupitisha majina ya wagombea wa nafasi hiyo leo mjini Dodoma.
Samuel Sitta, akitoka Ukumbini kuondoka zake baada ya jina lake kuchakachuliwa yaani kukatwa pamoja na Chenge na hatimaye yakapitishwa majina ya wagombea Kinamama ambao ni Anna Abdalla, Kate Kamba na Anne Makinda, ambao ndiyo watawania nafasi hiyo na hatimaye mmoja kati yao kuibuka na kumrithi Samuel Sitta.
"HONGERA KWA KUCHUKUA JIMBO LA KAWE"
Samuel Sitta, akisalimiana na Mbunge wa Kawe, Halima Mdee wakati walipokutana kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma leo....
"HONGERA KWA KUCHUKUA JIMBO LA KAWE"
No comments:
Post a Comment