Ofisa Mwendeshaji wa Benki ya FBME, Abia Maneno (kulia) akimkabidhi Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mwananyamala,Dk. Kariamel Wandi, msaada wa Shuka moja kati ya 200 zilizotolewa na benki hiyo ikiwa ni sehemu ya misaada ya benki hiyo kwa Jamii. Makabidhiano hayo yalifanyika leo mchana hospitalini hapo.
SINGIDA BLACK STARS YAMALIZA NA SARE AFRIKA KUSINI
-
TIMU ya Singida Black Stars imetoa sare ya bila mabao na wenyeji,
Stellenbosch katika mchezo wa mwisho wa Kundi C Kombe la Shirikisho Afrika
usiku huu Uwan...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment