Ofisa Mwendeshaji wa Benki ya FBME, Abia Maneno (kulia) akimkabidhi Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mwananyamala,Dk. Kariamel Wandi, msaada wa Shuka moja kati ya 200 zilizotolewa na benki hiyo ikiwa ni sehemu ya misaada ya benki hiyo kwa Jamii. Makabidhiano hayo yalifanyika leo mchana hospitalini hapo.
ALBINISM SPORTS CLUB NA TASACI WASHIRIKIANA KUANDAA MECHI YA KIRAFIKI NA
TIMU YA BUNGE ITAKAYOCHEZWA JUNI 6
-
ALBINISM Sports Club yenye Makao Makuu yake jijini Dar es Salaam kwa
kushirikiana na Shirika la Dawa Asilia na Ulinzi wa Mazingira (TASACI),
imeandaa mec...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment