Ofisa Mwendeshaji wa Benki ya FBME, Abia Maneno (kulia) akimkabidhi Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mwananyamala,Dk. Kariamel Wandi, msaada wa Shuka moja kati ya 200 zilizotolewa na benki hiyo ikiwa ni sehemu ya misaada ya benki hiyo kwa Jamii. Makabidhiano hayo yalifanyika leo mchana hospitalini hapo.
TAIFA STARS YACHAPWA 2-1 NA NIGERIA MECHI YA AFCON
-
TANZANIA imenza vibaya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025
baada ya kuchapwa mabao 2-1 na Nigeria usiku huu katika mchezo wao wa
kwanza ya...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment