Habari za Punde

*DEREVA WA TBC AFUNDISHWA KUFUNGA MKANDA

Askari wa usalama barabarani, akimkumbusha na kumfunga mkanda dereva wa gari la Shirika la Utangazaji la Taifa, TBC, lenye namba za usajili SU 37580, wakati gari hilo likiwa kwenye mataa ya Ilala Dar es Salaam leo.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.