Habari za Punde

*MKUTANO WA MIAKA KUMI YA UTANGAZAJI TZ WAFANYIKA LEO

Baadhi ya wajumbe wakiwa katika mkutano wa miaka kumi ya utangazaji uliofanyika jijini Dar es Salaam leo.
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Charles Kitwanga, (watatu kutoka kulia waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi na wajumbe waliohudhuria mkutano wa miaka kumi ya utangazaji uliofanyika Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.