"EEH! BWANA MCHEZO FURAHA NGUMI SI UHASAMA"
Mabondia hao wakichati kwa pamoja katika Laptop, baada ya kumaliza zoezi la kupima uzito, Yes hii ndo yenyewe bwana, upinzani ni ulingoni tu nje ya hapo urafiki unaendelea kama kawa, ila kesho Msituyeyushe mkaleta kujuana ohoooo!.
SENEGAL, DRC NA BENIN NAZO ZOTE ZAFUZU 16 BORA AFCON
-
TIMU za Senegal, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Benin zimefuzu
Hatua ya 16 Bora Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 baada
ya me...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment